TO JOIN OUR TELEGRAM GROUP CLICK HERE
DOWNLOAD PDF DOCUMENT TO VIEW FULL DETAILS
Serikali imetoa kibali cha Ajira za Jeshi la Magereza. Hivyo, Kamishna Jenerali wa jeshi la Magereza, anatangaza nafasi za ajira mbadala 1,241 za kujiunga na jeshi kwa Mwaka 2022. Jeshi litaajiri kwa kuzingatia vigezo vinavyohitajika kulingana na maelekezo ya Serikali. Hivyo Waombaji wote wanaotaka kujiunga na Jeshi la magereza wanatakiwa wawe na sifa zilizoanishwa hapa chini: –
a. Elimu Ya Kidato Cha Nne (Wasio Na Ujuzi)
(1) Awe ni raia wa Tanzania (2) Awe amemaliza kidato cha Nne na kupata ufaulu wa daraja la1–iv (3) Awe na umri kati ya miaka 18–25 (4) Awe kwenye mafunzo katika Kambi za JKT au awe amefuzu tayari
mafunzo ya jeshi la Kujenga Taifa (JKT) (5) Asiwe amewahi kuajiriwa Serikalini (6) Asiwe ameoa/kuolewa na Awe na siha njema (7) Awe hajawahi kupatikana na hatia katika makosa ya jinai
(8) Urefu usiopungua futi 5‘4″ (wanawake) na futi 5‘7” (wanaume) b. Elimu Ya Kidato Cha Nne (Wenye Ujuzi)
(1) Awe ni raia wa Tanzania (2) Elimu ya kidato cha Nne (Wenye ujuzi)
Awe amehitimu Astashahada katika fani ya udereva wa Trekta toka Chuo chenye usajili wa VETA na leseni ya udereva daraja G” (4) Awe na umri kati ya miaka 18–33 (5) Awe na siha njema
DOWNLOAD PDF DOCUMENT TO VIEW FULL DETAILS