Nafasi ya kazi :- MWALIMU DARAJA LA III C - HISABATI (MATHEMATICS)

UTUMISHI_779.jpg

MDAs & LGAs
709 Positions

Duties and Responsibilities

  • Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
  • Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
  • Kufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya Wanafunzi;
  • Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
  • Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na unasihi;
  • Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
  • Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
  • Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

Qualifications
  • Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Hisabati
AU
  • Shahada isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Hisabati pamoja na Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.

Remuneration
TGTS- D

Application Period
14/01/2026 - 28/01/2026

APPLY NOW
https://portal.ajira.go.tz/view-advert/UyT82%2B7czidjphyCvw4LQg%3D%3D