Nafasi ya kazi :- NAHODHA DARAJA LA II (SKIPPER)
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia
Positions
2 Positions
Application Period
31/07/2026 - 12/08/2026
Duties and Responsibilities
- Kuendesha boti ya doria;
- Kubuni, kutengeneza na kutunza zana za kuvulia samaki (Fishing Gears);
- Kuongoza na kuendesha boti/meli ndogo zenye urefu wa futi 40 na uzito wa kuandikishwa wa tani 50 – 100 “Gross Tonnage (GRT)”;
- Kuendesha shughuli za uvuvi katika meli; Kushiriki katika kuendesha doria za baharini na nchi kavu, na Doria za EEZ;
- Kusoma taarifa za VMS na kuziwasilisha kwa Mkuu wa kituo kila siku, wiki, mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka;
- Kukamata wahalifu wa Sheria na Kanuni za Uvuvi;
- Kusaidia kutunza Kumbukumbu zote za matumizi ya mafuta katika vyombo vya doria;
- Kusaidia kuandaa ratiba ya kufanya matengenezo na “service” ya vyombo vyote vya doria (service schedule);
- Kutekeleza majukumu yote ya kikosi kama yalivyoainishwa katika Kifungu cha 32 cha Sheria ya Uvuvi na. 22 ya mwaka 2003; na
- Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na mkuu wa kazi.
Qualifications
Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha IV au VI wenye Stashahada (Diploma NTA – level 6) ya Unahodha na Uvuvi (Master Fisherman) kutoka Vyuo vya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (Fisheries Education and Training Agency – FETA) au sifa inayolingana na hiyo kutoka vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali.
Remuneration