utumishi

Nafasi ya kazi :- FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II) – 33 POST

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Wizara ya Afya

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

FUNDI SANIFU UJENZI II (TECHNICIAN CIVIL II) 

i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

iii.Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

iv.Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba;

ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”;

iii.Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara, majengo na mifereji kama atakavyoelekezwa;

iv.Kuwapangia kazi Mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kama ilivyopangwa.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

i.Waliohitimu kidato cha VI na kufuzu mafunzo ya ufundi ya miaka miwili kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

ii.Waliohitimu kidato cha IV na kufuzu kozi ya ufundi ya miaka mitatu kutoka Vyuo vya Ufundi vinavyotambuliwa na Serikali katika fani za fundi ujenzi;

iii.Wenye Stashahada ya Kawaida katika fani za fundi ujenzi kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali

APPLICATION TIMELINE: 2025-03-06 2025-03-19

.

APPLY NOW

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related