TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI
Makamu Mkuu wa Chuo, Chuo Kikuu Mzumbe anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 19-03-2024 hadi 20-03-2024 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
FULL DETAILS CLICK HERE 👇