kkkt

zabuni kwa ajili ya ununuzi wa vyombo vya muziki kwa ajili ya matumizi ya kuendesha ibada, kwaya, matamasha na semina mbalimbali zinazofanyika kanisani

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA
(Evangelical Lutheran church in Tanzania)
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
(Eastern and Coastal Diocese)
JIMBO LA KASKAZINI
(Northern District)
Usharika wa Ubungo – Mtaa wa Kinzudi

TANGAZO LA ZABUNI

Mtaa wa Kinzudi unatangaza zabuni kwa ajili ya ununuzi wa vyombo vya muziki kwa ajili ya matumizi ya kuendesha ibada, kwaya, matamasha na semina mbalimbali zinazofanyika kanisani kama ifuatavyo.

Kumbukumbu ya zabuni KKKT/DMP/UBUNGO/KINZUDI/05-2021/Lot 1.

Tarehe ya kuchukua zabuni ni jumapili tarehe 08/08/2021 mpaka jumatano tarehe 11/08/2021. Mwisho wa kupokea zabuni ni Jumamosi tarehe 14/08/2021 saa 4:00 asubuhi

Siku ya kufungua zabuni ni tarehe 14/08/2021 saa 4:00 asubuhi.

Siku ya kutangaza mzabuni aliyeshinda: 14/08/2021 saa 4:00 asubuhi

Maelezo ya zabuni namba KKKT/DMP/UBUNGO/KINZUDI/05-2021/Lot 1 ni kama ifuatavyo

Drum shield – 1 no

Amplifier (7500W – 1 no

Wireless Mic (100) – 1 no

Mixer Rack – 1 no

Amplifier Rack – 1 no

Snake Cables (32 channel/50M) – 1 no

Bass Speaker (single bass 3500) Inport – 2 no

Speaker Monitor (800W) Inport – 2 no

Stabilizer (10000W)- 1 no

Mwisho panapohitajika Maelezo na ufafanuzi kuhusu maelezo tajwa hapo juu.

Tunaomba mawasiliano yote yapelekwe ofisi ya KKKT DMP JIMBO LA KASKAZINI, USHARIKA WA UBUNGO – MTAA WA KINZUDI.

NAMBA YA SIMU: +225784339345

EMAIL: [email protected]

Office of Pastor in Charge

Dar es salaam – Tanzania

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related