Crude-oil-eacop

OMBI LA KUONESHA NIA YA KUTOA HUDUMA ZA USAFIRI WA NDEGE KWA WAFANYAKAZI

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

OMBI LA KUONESHA NIA YA KUTOA HUDUMA ZA USAFIRI WA NDEGE KWA WAFANYAKAZI

KUMBUKUMBU NA: 10007995

Kampuni ya Mafuta Gha­ ya Afrika Mashariki (EACOP) Ltd, ambayo ni Kampuni ya mafuta na gesi, inaalika kampuni au taasisi zenye uzoefu na weledi wa kutosha kuonesha nia ya kutoa huduma ya usa­ri wa ndege kwenda kwenye Mradi wa bomba la mafuta gha­ la Afrika mashariki.

Mradi wa EACOP unajumuisha ujenzi na uendeshaji wa bomba la kusa­risha Mafuta lililofukiwa chini ya ardhi linalokatisha mipaka ya nchi mbili na litakalo sa­risha mafuta kutoka eneo la Ziwa Albert nchini Uganda mpaka mashariki mwa pwani ya Tanzania kwa ajili ya kusa­risha Mafuta katika masoko ya kimataifa. Bomba litaanzia Kabaale katika Wilaya ya Hoima, nchini Uganda, mpaka Chongoleani, Mkoa waTanga nchini Tanzania. Urefu wa bomba ni kilomita 1,443, kati yake kilomita 1,147 zitakuwa nchini Tanzania.

MAELEZO MAFUPI YA HUDUMA:

Huduma za Usa­ri wa Ndege:

• Sifa Husika za ndege: Ijulikanayo kitaalamu kama ­xed wing, Marubani 2, Injini pacha, Iwe na injini yenye

turubo ya kusukuma propela , iwe inazingatia vigezo vya Mamlaka ya Kimataifa ya Usa­rishaji wa Anga.

• Viwanja vya Ndege: Dar-es salaam/Tanga au mahali pengine penye kiwanja cha ndege (Kiwanja chenye

moramu).

• Ratiba: Safari 2 za Kwenda na kurudi kwa wiki kwenye viwanja vya ndege vilivyotajwa. Safari za kawaida

za ndege za abiria zinaweza kuruhusiwa baadae.

• Ratiba ya kuanza: Inakadiriwa kuanza tarehe 1 Desemba 2022.

• Mshahara: Unajumuisha viwango vyote vya malipo kwa kila saa ya kuruka angani.

• Muda: Mwaka mmoja ingawa unaweza kuongezeka

VIGEZO MUHIMU:

Makampuni au taasisi zinzoonesha nia zanaalikwa kutuma maombi na kuambatanisha nyaraka zifuatazo:

• Uthibitisho wa usajili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na cheti cha uthibitisho wa mlipa kodi kwa

mwaka wa fedha uliopita.

• Inashauriwa kuwasilisha maombi ya usajili kwenye kanzi data ya EWURA ya Watoa Huduma ya Ugavi wa

Ndani (LSSP) wakati wa konesha nia.

• Kuzingatia kanuni za watoa huduma wa ndani za mwaka 2017 na ufafanuzi wa makampuni ya ndani.

• Uzoefu, utendaji na uwezo wa kutoa huduma zilizoorodheshwa hapo juu katika kiwango kikubwa nchini

Tanzania, kulingana na viwango vya kitaifa na kimataifa.

• Uwezo wa kifedha wa kutoa huduma zinazohitajika ikiwa ni pamoja na kuwasilisha hesabu za fedha za

mwaka husika.

• Uthibitisho kutoka kwenye mfumo wa Usimamizi wa QHSE, taasisi na mchakato kulingana na Viwango vya

Ndani na vya Ki-Sekta vinavyotumika kwa kazi hii.

• Leseni ya biashara kutoka nchii husika inayothibitisha kufanya kazi hii.

• Vyeti vya ubora wa ndege.

• Wasifu wa marubani na marubani wasaidizi pamoja na wahudumu wengine watakaohusika katika kutoa

huduma, ikiwa ni pamoja na vyeti vya lazima vya kila mhudumu, viwango vya elimu, ushahidi wa mafuzo ya

mara kwa mara.

• Uthibitisho mwingine wowote wa Kampuni, vibali na leseni.

• Uthibitisho wa kukubaliana na sera za kupinga rushwa, u­sadi, na Haki za Binandamu.

Kampuni zenye nia, ambazo zina uwezo na rasilimali za kutosha kutoa huduma zilizotajwa hapo juu zinapaswa

k u t u m a m a o m b i n a k u a m b a t a n i s h a n y a r a k a z i l i z o t a j w a h a p o j u u k u p i t i a b a r u a p e p e y a [email protected] (ukubwa wa barua pepe usizidi 20Mb) mnamo au kabla ya Tarehe

1 Novemba 2022 saa 12:00 jioni saa za Afrika Mashariki (EAT). Kichwa cha Barua pepe kiwe

1007995.

Maombi yote yakuonesha nia yasizidi kurasa 10 hadi 20.

Maombi yote lazima yawasilishwe kwa lugha ya Kingereza.

Muhimu: Mradi wa EACOP utapitia na kuchambua nyaraka zilizotumwa na makampuni yenye nia Kwa ajili ya kutengeneza orodha ya (Makampuni) ya awali yenye vigezo. Mwaliko wa Makampuni kutuma maombi ya zabuni utatumwa kwa makampuni ya awali yenye vigezo baada ya makampuni hayo kusaini Makubaliano ya Utunzaji waTaarifa (NDA).

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related