WhatsApp-Image-2023-12-01-at-14.02.14

SIKU YA UKIMWI DUNIANI

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Kila Tarehe 1 December ni Siku ya Ukimwi Duniani.
Takribani watu milioni 39 duniani wanaishi na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).
Tanzania pekee ina wastani wa Asilimia 5 za watu wanaoishi na maambukizi ya VVU.
Kwa mwaka 2020, takribani vifo vya watu wapatao 32,000 vilitokana na maambukizi ya virusi vya Ukimwi.
“Tunza Afya Yako, Walinde Wengine.”

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related