UTUMISHI LOGO

TANGAZO LA UPANGISHWAJI WA MAENEO

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

‘JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA A! ng

OFISI YA RAIS i

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO TAREHE: 1606/2022

TANGAZO LA UPANGISHWAJI WA MAENEO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO YALIYOPO HAZINA, DODOMA JIJI

Mikurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Chamwino anakaribisha maombi ya upangishwa wa

maeneo yalipo Hazina Dodoma Jiji, Blk mo. 27 Plot 298, 278, 296 & 297, 285, 289, 290, 291

na 300. maeneo haya yapo karibu na Gereza la [sanga yamatazamana na barabara kuu ya

kuelekea Innga, na yamepimwa na yote yana hat.

Mmakaritishwa wananchi wote, wawekezaji, vikundi, wafanyabiashara, wajasiriamali au

kampnuni kutuma maombi ya kuomba kupangisha mojawapo ya eneo hilo, katika maombi hayo

mwombaji anatakiwa kutaja kazi’ shughuli’ uwekezaji au biashara anayotaka kufanyia hapo na

koasi gani atakacholipa kwa Halmashauni kwa miezi sita (6) au zaidi.

MASHARITI YA KUPANGISHA ENEO HILO NI KAMA IFUATAVYO:-

1. Waombaji wanatakiwa kuwasilisha maombi yao kwa MKURUGENZI MTENDAJI,

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO, SL.P 1126 CHAMIWINO, DODOMA

2. Maombi yaletwe kwenye bahasha iliyofungwa vizuri pamoja na nakala moja, ya

keuandika juu ya bahasha ulichoomba, na mwisho wa kuwaulisha maombi hayo ni tarehe

22/06/2022 saa 08:30 mchana. Maombi hayo yatapokelewa ofisi ya manunuzi kuanzia saa

2:00 Asubuhi mpaka 9:30 Alasiri siku za kazi.

3. Mvwisho wa kutuma maombi haya ni tarehe 22/06/2022 saa nane na nusu (08: 30) mchana

na ndiyo siku na muda wa ufunguzi wa maombi hayo, Maombi yatakayochelewa hayatapokelewa wala kufimgul:wa.

4. Waombaji au wawakilishi wa waombaji wanaruhusiwa knbudhona zoezi la ufunguzi.

5. Siku ya kukagua maeneo ni siku ya Jumatatu tarehe 20/06/2022 kuanzia saa 4:00 Asubuhi

hadi saa 7:00 Mchana, kwa mawasiliano piga namba +255 755 621 951 324 / +255 756

582 245

6. Uwe umeambatansha vifuatavyo:-

1) Leseni hai

u) Tax Clearance

i) VAT TIN Certificate

Is) Current Bank statement” ya miezi mitatu

Sifa za wombaiji.

(a] Uwe na umri usiopungua miaka kumi na nane.

(b) Uwe mwamunifu na mwadilifu.

Limetolewa na,

MKURUGENZI MTENDAJI

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related