HALMASHAURI YA WILAYA YA BUMBULI
TANGAZO LA ZABUNI
TAREHE 15/07/2019
HALMASHAUTI YA WILAYA YA BUMBULI inawatangazia wananchi wote wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba inauza viwanja kwaajili ya matumizi mbalimbali kama vile Benki, Hotel, Petrol Stantion, Makazi na Bishara
Viwanja hivyo vipo eneo la Kwehangala amabapo ndio makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli ilipo
Vipimo vimeonyeshwa katika Jedwali hapo chini kwa Mujibu wa Tangazo hili kwa Viwanja vya zabuni atakaye toa ofa kubwa ndio atapewa kipaumbele, hii kwamujibuwa Sheria ya manunuzi Na. 7 Kanuni ya 151
A) VIWANJA VYA ZABUNI
- Mnunuzi anatakiwa kufika ofisi ya manunuzi Halmshauri ya Wilaya ya Bumbuli na kununua nyaraka za zabuni hiyo kwa gharama ya shilingi 50,000/= kwa viwanja vya benki , petrol statiion na hotel ambayo haitarudishwa
- Mnunuzi anaruhusiwa kuja kuona viwanja vilipo kwa kipindi chote cha zabuni mwisho wa kuonyeshwa viwanja ni siku moja kabla ya kufunga zabuni
SN | MATUMIZI | KIWANJA NO | UKUBWA WA KIWANJA(Sqm) |
1 | Petrol station | Plot no 146 Block A kwehangala Area Bumbuli District | 3,017 |
2 | Benki | Plot no 172 Block A kwehangala Area Bumbuli District | 1,387 |
3 | Hotel | Plot no 158 Block A kwehangala Area Bumbuli District | 1,380 |
4 | Hotel | Plot no 200 Block A kwehangala Area Bumbuli District | 1,532 |
Nyaraka ifungwe ndani ya bahasha na kuandikwa Juu
KATIBU WA BODI YA ZABUN,
HALMASHAURI YA WILAYA YA BUMBULI,
S.L.P 111,
BUMBULI
Mwisho wa kujaza nyaraka hizo ni tarehe 30/07/2019 saa 5:30 asubuhi na ufunguzi utafanyika siku hiyihiyo manunuzi anaruhusiwa kushuhudia ufunguzi kama atapenda
B). VIWANJA VYA BIASHARA
- Mnunuzi anatakiwa kufika ofisi ya ardhi hlamshauri ya wilaya ya Bumbuli na kununua form kwa gharama ya shilingi 20,000/= kwa viwanja vya makazi na biashara makazi pekee na amabyo haitarudishwa
SN | MATUMIZI | BEI KWA KILA Sqm |
1 | BIASHARA PEKEE | Tshs 3,000 |
2 | MAKAZI PEKEENA BIASHARA | Tshs 2,500 |
3 | MAKAZI PEKEE | Tshs 2,000 |
4 | TAASISI ZA DINI | Tshs |
MWISHO WA KUPOKEA MAONI ni tarehe 30/07/2019 saa 5:30 asubuhi na ufunguzi utafanyika siku hiyihiyo manunuzi anaruhusiwa kushuhudia ufunguzi kama atapenda