LOGO

Tangazo La Zabuni Uwakala Wa Ukarabati, Uendeshaji Na Ukusanyaji Wa Ushuru Katika Vyoo Vya Halmashauri

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

HALMASHAURI YA MANTSPAA YA ILALA

TANGAZO LA ZABUNI

UWAKALA WA UKARABATI, UENDESHAJI NA UKUSANYAJI WA USHURU KATIKA VYOO VYA HALMASHAURI

Namba ya Zabuni: LGA/015/IMC/2019-2020/HQ/NCS/34

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala inakusudia kuweka Mawakala wa kukarabati, kuendesha na kukusanya ushuru wa vyoo vya Halmashauri kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala inapenda kuwaalika watu Binafsi Makampuni, Ushirika, Taasisi au Vikundi vya watu ViliVyosajiliwa kisheria, wenye nia na uwezo wa kufanya kazi hizo kutuma maombi yao kwa Zabuni zifuatazo

SNENEO LA ZABUIAINA ZA KAZILOT
1SWAHLI/MBA RUKUUKARABATI NA UENDESHAJILOT 1
2MCHIKICHINI 1UKARABATI NA UENDESHAJILOT 2
3KONGO NA MBARUKUUKARABATI NA UENDESHAJILOT 3
4LUMUMBA (kituo cha tax)UKARABATI NA UENDESHAJILOT 4
5ILALA SOKONIUKARABATI NA UENDESHAJILOT 5
6LUMUMBA/MKUNGUNIUKARABATI NA UENDESHAJILOT 6
7MNAZI MMOJA MASHUJAAUKARABATI NA UENDESHAJILOT 7
8KARUMEUKARABATI NA UENDESHAJILOT 8
9SWAHILI/MKUNGUNIUKARABATI NA UENDESHAJILOT 9
10SOKO LA TABATAUKARABATI NA UENDESHAJILOT 10
11AMANA/UHURUUKARABATI NA UENDESHAJILOT  11

Zabuni hii itaendeshwa Kwa mujibu wa sheria na kanuni za manunuzi ya Umma (Bidhaa, ujenzi, huduma zisizo za kiushauri sheria namba 07 (2011) na kanuni zake za mwaka, 2013 G.No 446 na marekebisho yake yam wake 2016.

wazabuni wote wanaokusudia kuomba zabuni hizi na walio na sifa zinazotakiwa wanaweza kuflka na kupata taarifa zaidi pamoja na kukagua nyaraka za zabuni husika ofisini kwa katibu wa Bodi ya Zabuni ya Halmashauri kwa gharama zao wenyewe kuanzia jumatatu saa 2:00 asubuhi hadi Ijumaa saa 9:30 jioni isipokuwa siku za siku kuu tu.

Nyaraka za zabuni zimcandaliwa kwa lugha ya Kiswahili na zinauzwa Tsh 50.000/=.Kabla ya kuchukua fomu ulapaswa kulcta bama kwa anwani tajwa hapo chini ukieleza unahitaji zabuni gani. Pesa ya maombi ya zabuni hazitarudishwa.

Maombi yote yajazwe kwa makini na yaambatanc na nakala mbili (original + copies) na yafungwe vizuri kwa rakili ndani ya bahasha na yatumwe kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala S.L.P 20950 Dar es salaam kabla ya tarehe 22 Octoba 2019 saa 4.00 Asubuhi . Zabuni zitafunguliwa siku hiyo hiyo saa 430 Asubuhi mbelc ya waombaji wote/wawakilishi wao watakaopenda kuhudhuria katika tafrija ya ufunguzi itakayofanyika katika Otisi za Manunuzi zilizopo Kamata Karibu na Mkuki House.

Juu ya bahasha iandikwe ajna ya zabuni na namba yake iliyoombewa na SIYO JINA LA MWOMBAJI: Mfano: UWAKALA WA UENDESHAJI WA CHOO CHA UMMA KILICHOPO KONGO MBARUKU. “ZABUNI NA. LGA/015/2018-2019 HQ/NCS/18 LOT2

Zabuni Zimkazochelewa kufika kwa muda uliopangwa. schcmu ya Zabuni zitakzuotumwa kwa njia ya elektronic. cg fax. email nk. zabuni ambazo hazikufunguliwa biku ya ufunguzi na zabuni ambazo hazikupokelewa huzimkubaliwa kufanyiwa tathmini bila kujali mazingira yeyote.

Halmashauri haitalazimika kuguwa zabuni yoyote kwa mtu yeyote aliyefanyiwa tathmini na kuonekana ndiye aliyetaja kiwango cha juu au cha chini cha pesa.

Tathmini itazingalia vixezo vyote vilivyopo kwenye nyaraka ya zabuni. pamoja na bei kulingana na bajeti ya Halmashauri kwa mWaka wa fedha 2019/2020

Mzabuni awe na uzoefu wa kutosha na asiwe anadaiwa na Halmashauri

Mzabuni anatakiwa awe na usajili Wa Baraza la Afya ya Mazingira

Makusanyo yote yatawasilishwa  Halmashauri na Mzabuni atalipwa kamisheni kutoka katlka makusanyo aliyowasilisha.

Jumanne K. Shauri
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala

WhatsApp
Twitter
Email
LinkedIn
Instagram

Related